Chozi langu litafutwa lini ?
| AUTHOR | Davis Mwanizuwa Sabini, Jane |
| PUBLISHER | Lulu.com (11/15/2024) |
| PRODUCT TYPE | Paperback (Paperback) |
Description
Riwaya hii inahusu unyanyasaji wa kijinsia, ndoa za utotoni, na ukatili katika jamii ya Kiafrika. Inaelezea kwa undani namna changamoto hizi zinavyoathiri maisha ya wasichana na wanawake. Mhusika mkuu ambaye ni msichana mdogo, anakabiliana na maisha ya dhuluma, ukosefu wa haki, na shinikizo la kuolewa akiwa bado mtoto, hali inayozuia maendeleo yake ya kielimu na ndoto zake. Katika riwaya hii, mhusika mkuu anaonyeshwa akikumbana na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa wanaume wakubwa au hata watu wa karibu katika jamii, hali inayomuacha na makovu ya kimwili na kiakili. Pia, jamii inaonekana kushindwa kumsapoti, huku sheria na haki zikionekana kutotenda haki kwa wanawake na wasichana wanaokandamizwa. Riwaya hii inabainisha changamoto wanazopitia wasichana wanaolazimishwa kuolewa wakiwa watoto, mara nyingi kutokana na umaskini au mila potofu zinazoendelezwa kizazi baada ya kizazi. Athari za ndoa hizi zinaonekana katika afya yao, elimu, na uwezo wa kujikomboa kiuchumi na kiakili.
Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13:
9781326832292
ISBN-10:
1326832298
Binding:
Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language:
Swahili
More Product Details
Page Count:
164
Carton Quantity:
44
Product Dimensions:
5.83 x 0.38 x 8.27 inches
Weight:
0.49 pound(s)
Country of Origin:
US
Subject Information
BISAC Categories
Literary Collections | African
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing
Riwaya hii inahusu unyanyasaji wa kijinsia, ndoa za utotoni, na ukatili katika jamii ya Kiafrika. Inaelezea kwa undani namna changamoto hizi zinavyoathiri maisha ya wasichana na wanawake. Mhusika mkuu ambaye ni msichana mdogo, anakabiliana na maisha ya dhuluma, ukosefu wa haki, na shinikizo la kuolewa akiwa bado mtoto, hali inayozuia maendeleo yake ya kielimu na ndoto zake. Katika riwaya hii, mhusika mkuu anaonyeshwa akikumbana na unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa wanaume wakubwa au hata watu wa karibu katika jamii, hali inayomuacha na makovu ya kimwili na kiakili. Pia, jamii inaonekana kushindwa kumsapoti, huku sheria na haki zikionekana kutotenda haki kwa wanawake na wasichana wanaokandamizwa. Riwaya hii inabainisha changamoto wanazopitia wasichana wanaolazimishwa kuolewa wakiwa watoto, mara nyingi kutokana na umaskini au mila potofu zinazoendelezwa kizazi baada ya kizazi. Athari za ndoa hizi zinaonekana katika afya yao, elimu, na uwezo wa kujikomboa kiuchumi na kiakili.
Show More
List Price $14.52
Your Price
$13.79
