Back to Search

MUNGU anaponya

AUTHOR Gabriele
PUBLISHER Gabriele Publishing House (12/05/2022)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Ni nani asiye na haja ya uponyaji ?

Nguvu kubwa mno isiyokadiriwa na kuwaziwa inatenda kazi ndani ya kila mmoja wetu. Ni nguvu ya upendo, nguvu ya Mungu. Gabriele anatoa maelezo kitabuni humu kwamba afya na uponyaji vinategemea mpango wa msingi wa utu wetu wa ndani na kwamba hisia na fikra zetu vina ushawishi mkubwa juu ya hali yetu njema, ambayo tunaweza kuamsha ndani mwetu kwa kumgeukia Mungu, chemchem ya nguvu ndani mwetu.

Kwa kutumia maneno yenye kugusa moyo na inayojaa ujuzi, kitabu hiki kinatuelekeza jinsi ya kuamsha nguvu za kimungu ndani mwetu ili kutia nguvu nafsi na mwili wetu. Hayo haimzuii kamwe mtu kumwendea daktari wake.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9783964463777
ISBN-10: 3964463779
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 118
Carton Quantity: 68
Product Dimensions: 5.00 x 0.25 x 7.00 inches
Weight: 0.24 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Unassigned | Healing - Prayer & Spiritual
Unassigned | Mindfulness & Meditation
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Ni nani asiye na haja ya uponyaji ?

Nguvu kubwa mno isiyokadiriwa na kuwaziwa inatenda kazi ndani ya kila mmoja wetu. Ni nguvu ya upendo, nguvu ya Mungu. Gabriele anatoa maelezo kitabuni humu kwamba afya na uponyaji vinategemea mpango wa msingi wa utu wetu wa ndani na kwamba hisia na fikra zetu vina ushawishi mkubwa juu ya hali yetu njema, ambayo tunaweza kuamsha ndani mwetu kwa kumgeukia Mungu, chemchem ya nguvu ndani mwetu.

Kwa kutumia maneno yenye kugusa moyo na inayojaa ujuzi, kitabu hiki kinatuelekeza jinsi ya kuamsha nguvu za kimungu ndani mwetu ili kutia nguvu nafsi na mwili wetu. Hayo haimzuii kamwe mtu kumwendea daktari wake.

Show More
List Price $9.99
Your Price  $9.89
Paperback