Back to Search

Ua Ama Ufe

AUTHOR Mambosasa, Hassan
PUBLISHER Mambosasa (07/20/2024)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Baada ya kufanya kazi za upelelezi wa muda mrefu, akihusika na mambo yanayohusiana ndani ya nchi ya Tanzania. Tatizo kubwa lilitokea, ni baada ya kufika taarifa ya usaliti wa jasusi mmoja wa EASA aliyetorokea jimbo la Juba kusini mwa Somalia.

Taarifa inasemekana alimjeruhi mwenzake vibaya, ambaye alitibiwa na kupona na alibaki nchini Kenya akiendelea na kazi zingine. Wakati huyo msaliti akiendelea kujichimbia nchini Somalia.

Inaandaliwa operesheni, aliyotakiwa mpelelezi mmojawapo atumwe kwenda huko. Huyo aihitajika kufika mjini Lamu aonane na jasusi aliyejeruhiwa, ambaye angekuja kumsafirisha kwa kutumia watu wake kwenda Juba. Huko wangekuja wapelelezi wengine ambao wangeigiza kama wanamgambo, hao wangemteka na kumfikisha kwenye kundi mojawapo la wanamgambo huko ndiyo angefanya kazi yake.

Shirika lilimteua Norbert Kaila kushikilia jukumu hilo, ambaye aliondoka nchini Tanzania kwa mujibu wa itifaki ilivyo. Ila mambo yanakuja kugeuka baada ya kufika nchini Somalia. Huko anatekwa kibaya zaidi wanaofanya kazi hiyo ni majambazi kamili wa kundi mojawapo, na si wale wenzake ambao walipangwa kufika huko.

Watekaji waliwahi mapema kabla ya majasusi wengine, walitimiza jukumu hilo, mwisho wake ikaja kuwa tatizo kubwa kwa EASA. Norbert Kaila aliwekwa nguvuni, inampasa kujiokoa na kuendelea na misheni yake.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9789912420434
ISBN-10: 9912420438
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 216
Carton Quantity: 34
Product Dimensions: 5.50 x 0.49 x 8.50 inches
Weight: 0.56 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Unassigned | Mystery & Detective - International Crime & Mystery
Unassigned | Thrillers - Espionage
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Baada ya kufanya kazi za upelelezi wa muda mrefu, akihusika na mambo yanayohusiana ndani ya nchi ya Tanzania. Tatizo kubwa lilitokea, ni baada ya kufika taarifa ya usaliti wa jasusi mmoja wa EASA aliyetorokea jimbo la Juba kusini mwa Somalia.

Taarifa inasemekana alimjeruhi mwenzake vibaya, ambaye alitibiwa na kupona na alibaki nchini Kenya akiendelea na kazi zingine. Wakati huyo msaliti akiendelea kujichimbia nchini Somalia.

Inaandaliwa operesheni, aliyotakiwa mpelelezi mmojawapo atumwe kwenda huko. Huyo aihitajika kufika mjini Lamu aonane na jasusi aliyejeruhiwa, ambaye angekuja kumsafirisha kwa kutumia watu wake kwenda Juba. Huko wangekuja wapelelezi wengine ambao wangeigiza kama wanamgambo, hao wangemteka na kumfikisha kwenye kundi mojawapo la wanamgambo huko ndiyo angefanya kazi yake.

Shirika lilimteua Norbert Kaila kushikilia jukumu hilo, ambaye aliondoka nchini Tanzania kwa mujibu wa itifaki ilivyo. Ila mambo yanakuja kugeuka baada ya kufika nchini Somalia. Huko anatekwa kibaya zaidi wanaofanya kazi hiyo ni majambazi kamili wa kundi mojawapo, na si wale wenzake ambao walipangwa kufika huko.

Watekaji waliwahi mapema kabla ya majasusi wengine, walitimiza jukumu hilo, mwisho wake ikaja kuwa tatizo kubwa kwa EASA. Norbert Kaila aliwekwa nguvuni, inampasa kujiokoa na kuendelea na misheni yake.

Show More
List Price $15.00
Your Price  $14.85
Paperback