Back to Search

Safari ya Kombamwiko

AUTHOR Kariuki, Emmanuel
PUBLISHER Phoenix Publishers (06/30/2022)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Kombamwiko alikuwa akiishi kwa raha mustarehe na wazazi wake kijijini. Ngoja basi siku moja akutane na Faragano, mende mmoja mjuaji, ambaye alimsifia Kombamwiko kuhusu maisha matamu ya mjini, kulingana na yale ya 'kijinga' ya kijijini kwao. Hadi Kombamwiko akaamua kwenda huko mjini akajionee mwenyewe uhondo, dhidi ya pingamizi za wazazi wake. Safari ikaanza. Kumbe, lahaula! Mambo sivyo kama alivyotarajia! Walikumbwa na visa na mikasa; wakateseka vilivyo na mwishowe wakaamua heri warejee nyumbani; kwani mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani.Hadithi hii ya kuvutia inasimulia visa vya safari hiyo ya Kombamwiko na wenzake.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9789966472250
ISBN-10: 9966472258
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 74
Carton Quantity: 84
Product Dimensions: 5.00 x 0.20 x 7.00 inches
Weight: 0.21 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Young Adult Fiction | Legends, Myths, Fables - General
Young Adult Fiction | Action & Adventure - General
Grade Level: 8th Grade - College Freshman
Library of Congress Control Number: 99893068
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Kombamwiko alikuwa akiishi kwa raha mustarehe na wazazi wake kijijini. Ngoja basi siku moja akutane na Faragano, mende mmoja mjuaji, ambaye alimsifia Kombamwiko kuhusu maisha matamu ya mjini, kulingana na yale ya 'kijinga' ya kijijini kwao. Hadi Kombamwiko akaamua kwenda huko mjini akajionee mwenyewe uhondo, dhidi ya pingamizi za wazazi wake. Safari ikaanza. Kumbe, lahaula! Mambo sivyo kama alivyotarajia! Walikumbwa na visa na mikasa; wakateseka vilivyo na mwishowe wakaamua heri warejee nyumbani; kwani mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani.Hadithi hii ya kuvutia inasimulia visa vya safari hiyo ya Kombamwiko na wenzake.

Show More
List Price $16.99
Your Price  $16.82
Paperback