Back to Search

Mtu wa Mvua

AUTHOR Walibora, Ken
PUBLISHER Phoenix Publishers (07/31/2022)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Dora yumo nyumbani ambamo amelazimika kubaki ili kuwachunga ng'ombe wao kutokana na ukosefu wa mfanyakazi mzuri. Halafu siku moja anamuona mtu anayetembea kwenye mvua bila kuguswa na tone la mvua. Anamshawishi mamaye wamwalike mtu huyu nyumbani. Mgeni anakubali kuandikwa kazi na Dora anarudi shuleni. Mtu huyu, Okungu, anaishia kuwa na vipawa vya ajabu ambavyo vinaisaidia jamii ya akina Dora kwa njia kubwa. Hii ni mojawapo ya hadithi tatu za kusisua zilizomo katika kitabu hiki. Juu ya kusisimua, zina mafunzo kemkem kwa wasomaji.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9789966472373
ISBN-10: 9966472371
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 56
Carton Quantity: 146
Product Dimensions: 5.00 x 0.12 x 7.00 inches
Weight: 0.12 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Juvenile Fiction | Action & Adventure - General
Juvenile Fiction | Action & Adventure - Survival Stories
Grade Level: 4th Grade - 7th Grade
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Dora yumo nyumbani ambamo amelazimika kubaki ili kuwachunga ng'ombe wao kutokana na ukosefu wa mfanyakazi mzuri. Halafu siku moja anamuona mtu anayetembea kwenye mvua bila kuguswa na tone la mvua. Anamshawishi mamaye wamwalike mtu huyu nyumbani. Mgeni anakubali kuandikwa kazi na Dora anarudi shuleni. Mtu huyu, Okungu, anaishia kuwa na vipawa vya ajabu ambavyo vinaisaidia jamii ya akina Dora kwa njia kubwa. Hii ni mojawapo ya hadithi tatu za kusisua zilizomo katika kitabu hiki. Juu ya kusisimua, zina mafunzo kemkem kwa wasomaji.

Show More
List Price $14.99
Your Price  $14.84
Paperback