Back to Search

Vutu n'kuvute

AUTHOR Shafi, Shafi Adam
PUBLISHER Mkuki na Nyota Publishers (12/29/1999)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Shafi Adam Shafi aliyeadika Kasri ya Mwinyi Fuad na Kuli anainua kiwango na hadhi ya fasihi ya Kiswahili katika riwaya hii Vute n' kuvute. Kwanza, kuna ndoa ya Yasmin, motto wa kihindi kwa Bwana Raza, mzee sawa na babu yake. Yasmin anafukuzwa na wazee wake kwa kumwacha Raza. Katika upweke wake anasitiriwa na Mwajuma, shoga yake anayeishi ili kustarehe katika dansa, taarab na pegi za vikali. Yasmin anaingizwa uswahilni. Kuna wive unaopelekea kifo cha Shibab, mume wa pili wa Yasmin. Kuna Denge, Yasmin anampenda lakini hapedeki. Kwa Denge ni mapambano na ukoloni tu na makachero wake. Hii ni Vutu n' kuvute ambayo sherti yeye na wenzake waishinde.

This award-winning novel is set in Zanzibar in the years before the revolution. It brings together characters from the Indian and Swahili communities, portraying all the tensions between the communities, complications of inter racial relationships, the struggle of workers against colonialism and influence of students returned home from Soviet Union with revolutionary theories. The brilliantly sketched and unforgettable characters in the novel have put Adam Shafi at the forefront of Swahili novelists.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9789976973297
ISBN-10: 9976973292
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 252
Carton Quantity: 26
Product Dimensions: 5.25 x 0.63 x 8.00 inches
Weight: 0.53 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Unassigned | Historical - General
Library of Congress Control Number: 99894189
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Shafi Adam Shafi aliyeadika Kasri ya Mwinyi Fuad na Kuli anainua kiwango na hadhi ya fasihi ya Kiswahili katika riwaya hii Vute n' kuvute. Kwanza, kuna ndoa ya Yasmin, motto wa kihindi kwa Bwana Raza, mzee sawa na babu yake. Yasmin anafukuzwa na wazee wake kwa kumwacha Raza. Katika upweke wake anasitiriwa na Mwajuma, shoga yake anayeishi ili kustarehe katika dansa, taarab na pegi za vikali. Yasmin anaingizwa uswahilni. Kuna wive unaopelekea kifo cha Shibab, mume wa pili wa Yasmin. Kuna Denge, Yasmin anampenda lakini hapedeki. Kwa Denge ni mapambano na ukoloni tu na makachero wake. Hii ni Vutu n' kuvute ambayo sherti yeye na wenzake waishinde.

This award-winning novel is set in Zanzibar in the years before the revolution. It brings together characters from the Indian and Swahili communities, portraying all the tensions between the communities, complications of inter racial relationships, the struggle of workers against colonialism and influence of students returned home from Soviet Union with revolutionary theories. The brilliantly sketched and unforgettable characters in the novel have put Adam Shafi at the forefront of Swahili novelists.

Show More
List Price $30.03
Your Price  $29.73
Paperback